Watoto
yatima wakiwa wamekusanyika katika kusherehekea Maadhimisho ya siku ya
Mtoto Yatima yaliofanyika huko Jozani Mkoa wa Kusini Unguja.
Katibu Mkuu Osifi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Omar Dadi Shajak akitoa Hotuba katika Maadhimisho ya Siku ya Mtoto yatima yaliofanyika
huko Jozani Mkoa wa Kusini Unguja.Kulia kwake ni katibu Mtendaji wa
Wakfu na mali ya Amana Sheikh Abdalla Twalib na kushoto yake ni
mwakilishi wa I,H,H Sheikh Muhammed Pakshi.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Omar Dadi Shajak kulia akiwa pamoja na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya Muzdalifat Farouk Hamadi wakipanda miti katika maadhimisho ya siku ya Mtoto Yatima huko Jozani Mkoa wa Kusini Unguja.(FS)
Post a Comment