Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MATUKIO YALIVYO SASA MSIBA WA MZEE MUHIDIN MAALIM GURUMO NYUMBANI KWAKE


Kamati ya Mazishi ya Mzee Muhidin Maalim Gurumo ikiwa imekaa kujadiliana maswala mbali mbali.
Mjane wa Marehemu Mzee Muhidin Maalim Gurumo akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya maisha yake na Marehemu mumewe.
Wadau wa Muziki.
Mpiga Solo wa Bendi ya Msondo,Ridhiwan Pangamawe akiwa ni mwenye majonzi kwa kuondokewa na Kiongozi wake.
Mzee King Kikii na wadau.
Kiongozi wa Bendi ya Twanga Pepeta,Asha Baraka akiambatana na wanamuziki wake wakiwasili msibani hapo.
Wakisabahiana.
Mzee King Kikii,Rashid Pembe na Abdul Salvador wakiwajadiliana mambo kadha wa kadha juu na namna walivyomkumbuka Mzee Muhidin Maalim Gurumo.
Sehemu ya Waombolezaji wa Msiba wa nguli wa Muziki wa Dansi hapa nchini na aliekuwa kiongozi wa Bendi ya Msondo Ngoma,Marehemu Mzee Muhidin Maalim Gurumo wakiwa nyumbani kwake Mabibo (Tabata Makuburi),leo.Shughuli zote za Mazishi zinaendelea nyumbani hapo.Tarati bu za Mazishi zimefanyika,yatafanyika kesho Aprili 15,2014 kwenye Makaburi yaliopo kwenye kijiji cha Masaki,Kisarawe mkoani Pwania.
 Mmoja wa wanamuziki wa zamani na aliewahi kufanya kazi Pamoja na Marehemu Mzee Muhidin Maalim Gurumo,Mzee Shaaban Dede (wa pili kushoto) akiwa ni miongoni mwa waombolezaji waliofika kwenye msiba huo.
Sehemu ya Waombolezaji wakiwa msibani hapo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top