Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

REAL MADRID YAICHAPA BAYERN 1-0

 

Euro delight: Karim Benzema celebrates after scoring Real Madrid's sole goal in their 1-0 victoryMambo shwari: Karim Benzema akishangilia bao pekee aliloifungia Real Madrid katika ushindi wa bao 1-0.

Composed: Benzema (left) scores the opening goal as Bayern's David Alaba can do nothing but look onBenzema (kushoto) akifunga bao huku beki wa Bayern David Alaba 
To the rescue: Real Madrid goalkeeper Iker Casillas makes a late save to deny Bayern's Mario GotzeKipa wa Real Madrid ,  Iker Casillas  akiokoa mchomo dakika za mwisho kumnyima bao la kusawazisha Mario Gotze
Tough going: Pep Guardiola (right) looks dejected as his Bayern Munich side lose at the BernabeuKazi ngumu: Pep Guardiola (kulia) akionekana kukosa furaha baada ya kupoteza mechi Bernabeu


BAO pekee la Karim Benzema katika dakika ya 19` limeipatia ushindi muhimu Real Madrid katika mechi ya kwanza ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi ya mabingwa watetezi wa kombe hilo, klabu ya Bayern Munich kwenye uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid nchini Hispania.
Bao hilo limewapa nguvu Real Madrid na kuwaongezea morali kueleka katika mchezo wa marudiano jumanne ya wiki ijayo katika dimba la Allianz Arena.
Kama Real Madirid watachuku kombe mwaka huu basi watakuwa wamechukua taji hilo mara 10.
Kocha Carlo Ancelotti na timu yake wangepata mabao mengi katika mechi ya leo na kuwa na uhakika wa kufika fainali ya UEFA tangu waliposhinda taji hilo mwaka 2002.
Cristiano Ronaldo na  Angel di Maria walikosa nafasi nzuri za kufunga na sasa wamejipa kazi ngumu Allianz Arena kwasababu Bayern Munich ni timu hatari na haitataka kuvuliwa ubingwa kirahisi kwao.
Kikosi cha Real Madrid: Casillas, Carvajal, Fabio Coentrao, Alonso, Pepe (Varane 73), Ramos, Modric, Isco (Illarramendi 82), Benzema, Di Maria, Ronaldo (Bale 74)
Kikosi cha Bayern Munich: Neuer, Rafinha (Javi Martinez 66), Alaba, Kroos, Boateng, Dante, Robben, Lahm, Mandzukic, Schweinsteiger (Muller 74), Ribery (Gotze 72)
Mechi hiyo imechezeshwa na mwamuzi  Howard Webb kutoka nchini Englan
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top