Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAMA SALMA KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA KILELE CHA SIKU YA WAKUNGA DUNIANI, JIJINI DAR

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisalimiana na Ndugu Clavery Mpagama mara baada ya kuwasili Mnazi Mmoja kuhudhuria kilele cha siku ya wakunga duniani leo tarehe 5.5.2014.
 Maandamano ya wakunga yakipita mbele ya mgeni rasmi mke wa rais Mama Salma Kikwete, wakati wa kilele cha siku ya wakunga duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, leo. 
 Maandamano yakipita mbele ya jukwaa kuu.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea maandamano ya wakunga wakati wa kilele cha siku ya wakunga duniani yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimsalimi mtoto Rahim mwenye umri wa miezi 2 akiwa na baba yake ndugu Amir Adam, 35, na mama yake Hamida (kushoto) walipompeleka kupata chanjo wakati wa sherehe za kilele cha siku ya wakunga duniani iliyoadhimishwa kitaifa katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali yaliyokuwa yakitoa huduma ya afya ya mama na mtoto wakati wa kilele cha cha sherehe za siku ya wakunga duniani iliyoadhimishwa kitaifa mkoani Dar es Salaam.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitembelea mabanda mbalimbali yaliyokuwa yakitoa huduma ya afya ya mama na mtoto wakati wa kilele cha cha sherehe za siku ya wakunga duniani iliyoadhimishwa kitaifa mkoani Dar es Salaam.
  Wakunga mbalimbali na wananchi wakifurahia wakati wa maadhimisho hayo. 
Mke wa Rais akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Wakunga Tanzania na baadhi ya wakunga waliohudhuria sharehe za kilele cha siku ya wakunga duniani. Picha na John Lukuwi
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top