Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

RODGERS ATAMBA KUTWAA `NDOO` KWA KUPIGA MAGOLI MENGI MECHI ZA MWISHO

 

rodgersunveiledKOCHA wa Liverpool, Brendan Rodgers bado ana matumaini ya kuchukua ubingwa licha ya kutolewa kileleni na Manchester City.

Vijana wa Manuel Pellegrini walipanda kileleni kwa wastani mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa baada ya kushinda mabao 3-2 dhidi ya Everton kwenye uwanja wa Goodison Park jumamosi iliyopita, huku wakisubiri mechi ya leo baina ya Liverpool na Crystal Palace.
Kama timu zote zitashinda mechi zao mbili za mwisho, bingwa atapatikana kwa tofauti ya magoli, na Rodgers anaamini timu yake itafunga mabao mengi zaidi katika mechi zake za mwisho ili kujiweka mazingira mazuri ya kubeba taji.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top