Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ANGALIA KIWANGO CHA PESA ANACHO LIPWA DAVIDO KWA KILA SHOW

Kwa Tanzania tumeanza kuona matunda ya muziki wa Bongo Flava kipindi hiki kwa kuzingatia kuwa mwanzoni watu walikuwa wanalipwa hadi 50,000 kwa show moja lakini sasa wasanii wanachukua hata zaidi ya milioni 5 kwa show ya ndani.

 Huko Nigeria watu wanaowekeza kwenye muziki wameanza kuyaona matunda yao hivi sasa ambapo kaka yake Davido ambaye pia ni mmiliki wa label HKN record akiwa na Davido ameweka wazi kuwa Davido huingiza $50,000 (zaidi ya Milioni 84) kwa show moja anayofanya.
Anasema aliwekeza kiasi cha $50,000 katika label hiyo awali na sasa Davido anapiga kiasi hicho kwa show moja tu.

Hii ni tweet ya 
 IG: Chairmanhkn @ChairmanHKN 
Put my First 50k dolls into my business now my artist makes 50k a show! God is good!!!!! CC: @iam_Davido
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top