Chumba cha kulala: Nyota wa
Ureno, Joao Moutinho ameposti picha hii kwenye mtandao wa Twita
akionesha chumba chake cha kulala nchini Brazil.
WAKATI kitu cha kwanza
atakachokiona Lionel Messi kila aamuka asubuhi ni mchezaji mwenzake
Sergio Aguero baada ya wawili hao kupangiwa chumba kimoja cha kulala,
Cristiano Ronaldo kwake ni tofauti kwani ataishia kuiona picha yake
kufuatia kupewa chumba cha peke yake.
on Friday, June 13, 2014
Post a Comment