Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Ivory Coast yaitoa kimasomaso Afrika dhidi ya Japan, wafungaji na matokeo haya hapa

20140615-084209-31329539.jpg

 

Bara la Afrika leo alfajiri limetupa karata yake ya pili kwenye michuano ya kombe la dunia, kwenye mchezo kati ya Ivory Coast vs Japan.
Mchezo huo ambao ulianza majira ya saa 10 usiku, umeisha kwa Ivory Coast kuitoa kimasomaso Afrika kwa kuwa timu ya kwanza kushinda kwenye michuano ya mwaka huu baada ya kuitungua Japan 2-1.
Magoli ya Ivory Coast yamefungwa na Wilfred Bony na Gervinho – Keisuke Honda aliifungia Japan goli la kufutia machozi.
Mchezo mwingine kwenye kundi hilo ulichezwa mapema kiasi saa mbili usiku kati ya Colombia dhidi Ugiriki.
Matokeo yalikuwa 3-0 kwa ushindi wa Colombia ambayo ilimkosa staa wao Radamel Falcao.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top