MWILI
wa marehemu George Otieno ‘Tyson’ usiku wa Jumanne iliyopita
ulifikishwa nyumbani kwake Mbezi Makonde jijini Dar kwa ajili ya ndugu
zake ambao kesho yake (Jumatano) wasingeweza kufika Viwanja vya Leaders
Club kuuaga, wafanye hivyo.
Loading...
Post a Comment