ZIKIWA zimepita
wiki kadhaa tangu kuripotiwa kupatanishwa kwa mastaa wawili katika
tasnia ya filamu Bongo, Wema Sepetu na Kajala Masanja, taarifa zisizo na
shaka zilizotua kwenye meza ya Ijumaa Wikienda zinaeleza kwamba
upatanisho huo haukusaidia chochote na sasa bifu jipya limeibuka kati
yao.
Kwa
mujibu wa chanzo chetu cha ndani kilichoomba hifadhi ya jina lake,
zoezi la upatanishi kati ya mastaa hao lililofanyika kwenye msiba wa
dairekta wa filamu za Kibongo, George Tyson, Mbezi Beach jijini Dar
lilikuwa sawa na kazi bure.
“Hakuna
yeyote kati yao aliyekuwa na nia ya dhati ya kumaliza tofauti
zilizokuwepo, walikubali kupatana kwa sababu ya heshima ya waliokuwa
wanawapatanisha lakini kiukweli ilikuwa ni sawa na danganya toto, bifu
limelipuka upya,” kilisema chanzo hicho ambacho ni rafiki wa karibu wa
mastaa hao wakubwa mjini.ENDELEA HAPA>>>>>
Post a Comment