Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TANZIA KATIBU MKUU WA YANGA AFARIKI DUNIA LEO

 


Katibu mkuu wa zamani wa Yanga, George Mpondela amefariki dunia.
Taarifa zinaeleza Mpondela aliyekuwa maarufu kama Castro amefariki dunia leo kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Uongozi wa Yanga umedhibitisha kuhusu kifo cha Mpondela ingawa imeelezwa taarifa rasmi itatolewa na familia yake jijini Dar es Salaam ili watu wajue wapi ulipo msiba na taratibu za mazishi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top