Katibu mkuu wa zamani wa Yanga, George Mpondela amefariki dunia.
Taarifa zinaeleza Mpondela aliyekuwa maarufu kama Castro amefariki dunia leo kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Uongozi
wa Yanga umedhibitisha kuhusu kifo cha Mpondela ingawa imeelezwa
taarifa rasmi itatolewa na familia yake jijini Dar es Salaam ili watu
wajue wapi ulipo msiba na taratibu za mazishi.
Post a Comment