Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Yaone mateso ya ajabu anayoyapata huyu kijana ..... Tahadhari ya Picha:Msaada wa Kijana wahitajika haraka



 
Mama Mzazi wa Kijina Mwanaidi Bi Jina akimpatia uji mtoto wake wakiwa katika wodi ya hospitali ya mnazi mmoja wakiendelea na Tiba baada ya kuhamishiwa hapo kutoka hospitali ya jeshi bububu, ili kuendelea na huduma hiyo ya matibabu wakisubiri kupata michango ili kuweza kumsafirisha nje ya nchi kupata matibabu zaidi. 
---
 Maendeleo ya michango wa Kumchangia Kijana Mwanaid Saleh Kupata Matibabu.

Tunashukuru kwa Michango Yenu kwani Kijana Mwanaid Saleh, tayari amehamishiwa Hospitali Kuu ya rufaa Mnazi Mmoja kutokea Bububu akiendelea na Matibabu kusubiri hatua zaidi za Matibabu Nje ya Nchi 

 Tunawashukuru wananchi wliojitokeza kumchangia Mwanaid Saleh,ili kupata Matibabu Kwa sasa  Michango imefikia shilingi 444, 000/= Ikiwa katika Benki ya PBZ Tawi la Malindi Zanzibarhadi sasa.  

Wananchi waliojitokeza kumchangia kupitia Tigo Pesa  0715 424152. 

Omar Shamte Shs.4,000/= ,  Kupitia Wakala wa Tigo Pesa Shs 10,000/=,   Ziada Kikunga Shs 6000/= Khamis Suleiman M-PESA Shs 48,000/= na Maryam Hilal  Shs. 3000/=

Bado michango yenu inahitajika na tutazidi kukupeni taarifa kadri tutakavyoipokea kwani jumla ya pesa zinazohitajika takriban milioni 15 ili zimwezeshe kufanyiwa matibabu.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top