Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TAARIFA TOKA MSAJILI WA MASHIRIKA


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO


 Msajili wa NGOs anayatangazia Mashirika Yasiyo ya Kiserikali yaliyosajiliwa katika kipindi cha 2005 hadi 2007 ambayo hayajawasilisha taarifa za mwaka kama inavyoelekezwa na Sheria ya NGOs Na. 24 ya mwaka 2005 iliyorekebishwa mwaka 2005 kuwa yanatakiwa kuwasilisha kwa maandishi maelezo ya kwa nini yasifutiwe usajili wao. Maelezo hayo yamfikie Msajili kabla ya tarehe 30 Agosti, 2014 saa 9.30 Alasiri.

Kushindwa kufanya hivyo kwa muda uliopangwa kutapelekea kuamini kuwa Shirika husika ni mfu na hivyo kulifutia usajili kwa mujibu wa kifungu cha 24(2) cha Sheria ya NGOs, Na.24,2002.

Kupata orodha ya Mashirika hayo BOFYA HAPA
M.S. Katemba

MSAJILI WA MASHIRIKA
YASIYO YA KISERIKALI
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top