Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WENGI WAJITOKEZA MAZISHI YA EVERLYNE MACHELLAH


 Katekista wa Kanisa Katoliki Mwananyala akiongoza ibada ya kuaga mwili wa marehemu, Everlyne Michael Machellah nyumbani kwao Mwananyamala jijini Dar es Salaam leo. (Picha zote na Francis Dande)
Ibada ikiendelea.
Michael Machellah akiwa na waombolezaji wengine.
 Ibada ikiendelea.
 Mama wa marehemu (kulia) akiwa na huzuni wakati wa ibada ya kuaga mwili nyumbani kwao Mwanyamala.
Michael Machellah akiwa na huzuni wakati wa ibada ya kuaga mwili wa mtoto wake Everlyne.
 Waombolezaji.
 Waomboleza wakiwa katika ibada ya kuaga mwili.
 Meneja wa Bia ya Safari, Oscar Shelukindo akitoa heshima za mwisho.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top