Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Barcelona wameitaja bei ya Suarez

  1. Screen Shot 2014-08-20 at 8.41.10 AM
  2. Tunafahamu kwamba Luis Suarez alijiunga na Barcelona mwaka huu wa 2014 akitokea Liverpool aliyoichezea toka mwaka 2011-2014 na kuifungia magoli 69 kwenye mechi 110 alizocheza.Sasa ishu imekuja kwenye ada ya uhamisho kwenda Barca ambapo club hiyo imeweka wazi jana kwamba ilimchukua kwa pounds milioni 65 kutoka Liverpool.Kuna mchanganyiko umetokea baada ya hiyo bei kutajwa kwa sababu Liverpool walisema bei waliyomuuza mng’ataji huyu ni Pound milioni 75.

  1. Screen Shot 2014-08-20 at 8.52.31 AM
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top