Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SERIKALI YAPOKEA MAGARI NA PIKIPIKI KUKABILIANA NA UGONJWA WA KIFUA KIKUU NA UKOMA NCHINI





Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) akipokea ufunguo wa moja kati ya magari kutoka kwa mwakilishi wa shirika la GLRA nchini Burchard Rwamtoga (kushoto) ikiwa ni ishara ya kukabidhi msaada wa gari 4 na pikipiki 20 vyenye thamani ya Tsh. Milioni 261 jijini Dar es salaam.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi akiwasha moja kati ya magari manne  aliyoyapokea kutoka kwa mwakilishi wa shirika la GLRA la Ujerumani nchini Burchard Rwamtoga jijini Dar es salaam.

Mwakilishi wa shirika la GLRA nchini Burchard Rwamtoga (kushoto) akimkabidhi Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) ufunguo wa moja kati ya pikipiki 20 zilizotolewa na shirika la hilo jijini Dar es salaam.
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) akimkabidhi Mratibu wa huduma za kifua kikuu na ukoma mkoa wa Kigoma Dkt. Deus Leonard (kushoto) moja kati ya magari manne  yaliyokabidhiwa kwa Serikali kutoka kwa  shirika la GLRA la Ujerumani nchini jijini Dar es salaam.

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Seif Rashidi (kulia) akisalimiana na Mratibu wa huduma za kifua kikuu na ukoma mkoa wa Ilala baada ya kumkabidhi moja kati ya magari manne  yaliyokabidhiwa kwa Serikali kutoka kwa  shirika la GLRA la Ujerumani nchini jijini Dar es salaam.(Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO).
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top