Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MKENYA AVUNJA REKODI BERLIN


Dennis Kimetto.
MWANARIADHA raia wa Kenya, Dennis Kimetto leo amevunja rekodi ya mbio za marathon jijini Berlin nchini Ujerumani kwa ushindi wake wa saa 2, dakika 2 na sekunde 57.
Kijana huyo mwenye umri wa miaka 30, amevunja rekodi hiyo akipunguza sekunde 26 katika rekodi iliyowekwa na Mkenya mwenzake Wilson Kipsang ya 2: 03: 23 katika mashindano hayo yaliyofanyika mwaka jana jijini Berlin.
Kimetto amesema: "najisikia vizuri maana nimeshinda mashindano magumu, nilikuwa fiti tangu mwanzo wa mbio hizo na wakati nikikaribia kumaliza nilihisi kuwa nitashinda na kuvunja rekodi"
Orodha ya rekodi zilizowahi kuwekwa kila baada ya miaka 10.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top