

Rais Dkt.Jakaya
Mrisho Kikwete akisalimiana na kupiga picha ya pamoja na na viongozi wa Bendi
ya Msondo ngoma Ikulu jijini Dar es Salaam leo mchana.Viongozi hao
walimtembelea Rais Kikwete kufanya naye mazungumzo kuhusu masuala
mbalimbali ya tasnia ya muziki nchini. Bendi hiyo kongwe imetimiza miaka 50
mwezi huu. Picha na Freddy Maro-IKULU


Post a Comment