Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

HAYA NDO MAGARI ANAYOYAMILIKI MSANII JACQUELINE WOLPER KWA SASA!!! ANATISHAJEEEE...!!!

 


The Bongo Star diva owing the luxury cars below

UGOMVI WA ZARI NA WEMA WACHUKUA SURA MPYAA ... IDRISSA SULTAN AHUSISHWA


LOWASSA AENDELEA KUSOMBA WADHAMINI KWA KISHINDO JIJINI ARUSHA ..... AKOMBA ZAIDI YA WADHAMINI 12O,000


Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa, akizungumza na Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Jiji la Arusha waliokuwa wamefurika kwenye uwanja wa ulipo mbele ya Ofisi za CCM Mkoa huo, leo Juni 24, 2015, wakati alipofika kwa ajili ya kupata udhamini utakaomuwezesha kupata ridhaa ya Chama chake kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
Mh. Lowassa akiwaaga WanaCCM wa Mji wa Arusha.

MBUNGE WA GEITA, DONALD MAX KUZIKWA JUMAMOSI

 

Donald Kevin Max (58) enzi za uhai wake.
Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini (CCM), Donald Kevin Max (58) anatarajiwa kuzikwa siku ya Jumamosi ya Juni 27, mwaka huu jijini Dar es Salaam.

Wema Sepetu Interview Part IV kuhusu Mtoto na Diamond, ujauzito wa Zari, alivyotoa mimba

 

Hiki ni kipisi cha nne na cha mwisho cha Mahojiano aliyofanyiwa Mwigizaji Wema Sepetu kwenye TV show ya TAKE ONE CloudsTV ambapo hapa ameongelea mengine ya yeye kukosa Ujauzito, jinsi alivyotoa Mimba akiwa na Kanumba, Diamond kutaka mtoto na mengine.

ANGALIA PICHA MAHABUSU AVUA NGUO NA KUBAKI UCHI WA MNYAMA KISHA KUNG'ANG'ANIA BENDERA YA TAIFA ILI KESI YAKE ISIKILIZWE

 

Inspector Henry akiwasihi mahabusu hao wawili wanaotuhumiwa kwa kesi za mauaji, kuachia mlingoti wa Bendera ya Taifa na kurudi kwenye chumba cha mahakama kwaajiri ya taratibu za kesi.

ALI KIBA ALIVOJICHANGANYA NA WADAU KWENYE DALADALA DAR

 

Ali Kiba akifurahia jambo na abiria.
Kondakta wa daladala akiwa na Ali Kiba.

TANGAZO LA MSIBA TANZANIA NA MAREKANI

 

11261405_1439531623036433_198071232238341808_o
DR. ALI MZIGE wa Mikocheni, Dar es salaam anasikitika kutangaza kifo cha Dada yake MRS MARIAMU -MWAJUMA MUSISA (NEE MZIGE) kilichotokea Raleigh, North Carolina Marekani tarehe 21-06-2015. Mwili wa marehemu utaletwa Tanzania kwa ajili ya mazishi.
Tutatoa taarifa zaidi mwili utakapowasili. Kwa mawasiliano tafadhali mpigie Yussuf Mhiro 0754-609-338 / 0714-979-014.Usoma taarifa hii tafadhali wajulishe ndugu jamaa na marafiki wa Ukoo wa Humbi Ziota na Musisa. Au Kaka wa Marehemu DR. ALI A. MZIGE 0713 410 531, 0754 495 998.
Inna Lillahi, wa inna ilaihi ra'ajiun.

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA KWIMBA MKOANI MWANZA


Sehemu ya Umati wa wakazi wa wilaya ya Kwimba na vitongoji vyake wakiwa wamekusanyika katika mkutano wa hadhara,Uwanja wa Mpira wa Ngudu, wilayani humo, wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri uwanjani hapo,wakati Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana alipokuwa akihitimisha ziara yake ndani ya jimbo hilo la Kwimba jioni ya leo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana Kinana akihutubia katika mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Mpira wa Ngudu,Ndugu Kinana alikemea tabia ya wapinzania kuwahadaa vijana nchini kuwa wakiingia madarakani wataweza kuwatekelezea kila kitu,aidha aliwataka vijana wa kitanzania kuacha kabisa kuhadaika na baadhi ya Wanasiasa ambao wamekuwa wakiwapotosha na kuamini kila kitu kitapatikana bila kufanya kazi na kujituma.

Bei mpya za usajili makampuni na majina ya biashara Brela kuanzia Tarehe 1 Julai.




NASSARI AMALIZA MIKUTANO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUJIANDIKISHA


Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Josgua Nassari akiwahutubia wananchi wa kata ya Ngarenanyuki katika jimbo la Arumeru Mashariki akihimiza kujitokezakwa wingi katika zoezi la kujiandikisha katia daftari la kudumu la wapiga kura.

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI

 
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
                                                 JESHI LA POLISI TANZANIA




RPC.                                                                                                       Ofisi ya Kamanda wa Polisi,                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                   
Namba ya simu 2502572                                                                                            S. L.260,
Fax - +255252503734                                                                                                   
 MBEYA.
E-mail:-  rpc.mbeya@tpf.go.tz                                                                      
tanpol.mbeya@gmail.com

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI “PRESS RELEASE” TAREHE 25.06.2015.
MTU MMOJA AUAWA KWA KUKATWA NA KITU CHENYE NCHA KALI NA WATU WASIOFAHAMIKA.

KINANA AFANYA AMSHA AMSHA KUBWA KATIKA JIMBO LA KWIMBA, AKAGUA MIRADI, MWENYEKITI WA CHADEMA AHAMIA CCM, MKUTANO NGUDU MJINI WAFURIKA WANANCHI


 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara aliofanya leo katika Uwanja wa CCM, katika mji mdogo wa  Ngudu, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uahi wa Chama katika wilaya ya Kwimba mkoa wa Mwanza.
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akisisitiza jambo alipohutubia mkutano wa hadhara aliofanya kwenye viwanja vya CCM kwenye mji mdogo wa Ngudu, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama katika wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza leo

SAMWEL SITTA USO KWA USO NA LOWASSA,TIZAMA HAPO KUJUA


Leo tumekutana na ndugu yangu Mheshimiwa Samuel Sitta. Mimi na Sitta tumetoka mbali kikazi na kindugu. Tumefanya kazi pamoja bungeni, ndani ya CCM na serikalini kwa mafanikio makubwa.
Namtakia heri katika harakati zake huku nikiaminikwa dhati kwamba uhusiano wetu ndiyo msingi wa umoja na mshikamano ndani ya CCM na kwa taifa letu kwa siku zijazo.

KINANA AINGIA WILAYA YA NGARA, AKAGUA MIRADI YAMAENDELEO NA KUTOA CHANJO KWA WATOTO


Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpa matone ya chanjo mtoto Benita Cosmas, wakati alipozindua utoaji matone ya chanjo kwa watoto chini ya miezi sita, katika Kituo cha Afya cha Kashinga, kata ya Nyakisasa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CM na uhai wa Chama katika wilaya ya Ngara mkoani Kagera, leo. Mama wa mtoto huyo ni Editha Rubambura.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpa kidonge cha chanjo mtotoFrank Laurent, wakati alipozindua utoaji vidonge vya chanjo kwa watoto chini ya mmwaka mmoja, katika Kituo cha Afya cha Kashinga, kata ya Nyakisasa, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CM na uhai wa Chama katika wilaya ya Ngara mkoani Kagera, leo. Mama wa mtoto huyo ni Janeth Leopard.

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATOA RATIBA KAMILI YA UANDIKISHAJI KWA MIKOA 15


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEib_I9FcEGP8rQdoU8QqjPz-d5MA85KrGMhCmnQJB9jge31QB5EcC1zaoyDgPVR4q-aHdrHxPbv6wgA4MLwdkyyGv_L1VuqFC9XGwM8DQ1Ck_304-NCD1aXbc277uRu03AP33mq4T5cghSi/s1600/Screen+Shot+2015-06-11+at+4.51.34+PM.png

LOWASA KAMA RAIS-TIZAMA ALIVYOTUA NYUMBANI KWA BABA WA TAIFA


1

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akisalimiana wanachama wa CCM waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege Musoma mkoani Mara jana kwa ajili yakutafuta wanachama wakumdhani kugombea Urais.
4  
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akiwapungia mkono wanachama wa CCM waliofika kumpokea katika Uwanja wa Ndege Musoma mkoani Mara jana kwa ajili yakutafuta wanachama wakumdhani kugombea Urais.

5
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, akizungumza na wanachama wa Chama Chama Mpinduzi(CCM )nje ya Ofisi ya Wilaya ya Bunda mkoani Mara baada wakati alipofika kwa ajili yakutafuta wanachama wakumdhani kugombea Urais.

KINANA ATAKA MIRADI YA MAENDELEO ISIMAMIWE NA HALMASHAURI BADALA YA SERIKALI

Wananchi wakimsalimia kwa shauku, Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, alipowasili Uwanja wa michezo, kuhutubia mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Kibingo, Kata ya Kaisho, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na Uhai wa Chama katika wilaya ya Kyerwa, mkoani Kagera, leo.

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top