The Bongo Star diva owing the luxury cars below
Pamoja na BMW X6 msanii huyo anasukuma pia kitu cha Harrier Lexus & apparently ndo linalotumika kupleka wadogo zake shule. Thamani yake ni Sh. milioni 25
Hili ni Toyota Noah lenye thamani ya Sh. milioni 18 ni kwa ajili ya kikazi zaidi
Na ushaidi huu hapa.
"When ur big ur big!" Big up mwanadada Jacqueline.
Picha kwa hisani ya Global Publishers
Post a Comment