Leo
ikiwa ni siku ya mfanano wa kuzaliwa wa msanii Diamond Platnum hadi sasa
msanii huyo ajasema chochote.Baunsa wake Diamond anayejulikana kwa jina
la Mwarabu fighter na kaka yake Rommy Jons wameshafanya hivyo.Miaka ya
nyuma kila siku kama ya leo msanii huyo alikuwa akimnunulia gari mama
yake huyo kipenzi,Hatujui leo atapewa zawadi ipi kubwa zaidi.
Loading...
Post a Comment