Chopa
iliyokuwa ikitumiwa na Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua
Nassary ikiwa juu ya mti mara baada ya kup0teza mwelekeo jioni ya leo
katika Kijiji cha Leguruki, Wilayani Meru Jijini Arusha. Hakuna
aliepoteza maisha katika ajali hiyo, na Mbunge Nassari pamoja na Rubani
wake walikimbizwa Hospitali ya Selian jijini Arusha kwa matibabu baada ya kupata majeraha kwenye ajali
hiyo.
Taarifa kamili itawajia baadae kidogo.
Post a Comment