Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AUNT ADAIWA KUHONGWA GARI


aunty33
Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson ‘Mama Cookie’mpenzi wake, Moses Iyobo ‘Mozes’.

BAADA ya kuanika picha za gari lake jipya aina ya Audi A4 kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram akimshukuru mpenzi wake, Moses Iyobo ‘Mozes’ kwa kumzawadia ‘mkoko’ huo, staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson ‘Mama Cookie’ anadaiwa kuhongwa gari hilo na kigogo.
gari la aunt aud 4aGari analodaiwa kupewa zqawadi Aunt.
Mara tu baada ya ‘kuposti’ picha za gari hilo, baadhi ya mashabiki wa Aunt ambao ni watu wake wa karibu…




aunty33
Staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson ‘Mama Cookie’mpenzi wake, Moses Iyobo ‘Mozes’.
MWANDISHI WETU
BAADA ya kuanika picha za gari lake jipya aina ya Audi A4 kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Instagram akimshukuru mpenzi wake, Moses Iyobo ‘Mozes’ kwa kumzawadia ‘mkoko’ huo, staa wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson ‘Mama Cookie’ anadaiwa kuhongwa gari hilo na kigogo.
gari la aunt aud 4aGari analodaiwa kupewa zqawadi Aunt.
Mara tu baada ya ‘kuposti’ picha za gari hilo, baadhi ya mashabiki wa Aunt ambao ni watu wake wa karibu waligawanyika, wapo waliodai gari hilo lilitokana na kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wengine walidai amehongwa bila kumtaja mtu aliyemuhonga.
“Jamani Aunt si useme tu kuwa gari umehongwa? Usimsingizie Moze Iyobo na kama si hivyo basi ni fedha ulizopata kwenye kampeni si bure,” alisema mmoja wa mashabiki wake hao.
Alipobanwa na mwandishi wetu, Aunt alifunguka kwamba, hana la zaidi kwani ameshaweka wazi gari hilo amelitoa wapi na asiyeamini abaki hivyohivyo.
“Nimenunuliwa na baba Cookie, hayo mambo yenu ya kampeni mimi siyajui wala sijahongwa kwani hakuna mwenye ubavu wa kunihonga kwa sasa,” alisema Aunt.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top