Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

NDEGE YA URUSI YAANGUKA IKIWA NA ABIRIA ZAIDI YA 200.


Ndege ya shirika moja la ndege la Urusi, iliyokuwa imebeba abiria zaidi ya 200, imeanguka katika eneo la Sinai nchini Misri.Ndege hiyo aina ya Airbus A-321 ilikuwa imetoka mji wa Sharm el-Sheikh ikielekea mji wa St Petersburg nchini Urusi.Vyombo vya habari nchini Misri vinasema mabaki ya ndege hiyo yamepatikana na magari ya uokozi zaidi ya 20 zimetumwa katika eneo la ajali.Rais wa Urusi Vladimir Putin ametuma salamu za rambirambi kwa ndugu na jamaa za waathirika na kuagiza uchunguzi ufanyike, huku akitangaza kesho kuwa ni siku ya maombolezo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top