Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

DUNIA IMEKWISHA:MWANAUME AFUNGA NDOA NA NYOKA!!! MAELFU WASHUHUDIA


Mwanaume aliyefuunga ndoa na nyoka
Watu zaidi ya 15,000 wamekusanyika kushuhudia ndoa ya mtu na nyoka kwenye kijiji cha Badwapur jimboni Uttar nchini india.Sandeep Patel mwenye umri wa miaka 27 amedai kuwa wakati wa usiku mwanamke huyo ugeuka kuwa nyoka lakini mchana anaonekana kama mwanamke mrembo kwahiyo hawezi kumuacha maana waliahidiana kufunga ndoa siku ya pasaka.
Pia inasemekana kuwa wakati Sandeep akiwa mdogo alikuwa anachezesha ulimi wake na kutembea kama nyoka.
Polisi jimboni Uttar baada ya kupata taarifa hizo walivunja harusi hiyo na kuwatia mbaroni watu wawili ambao ni baba wa Sandeep na bwana harusi mwenye
Lakini hili limekuwa siyo tukio la kwanza kutokea nchini humo maana miaka tisa iliyopita mwanamke mmoja aliolewa na nyoka kwenye kijiji cha Tala jimboni Orissa.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top