Brighton Masalu
GUMZO! Miezi kadhaa
imekatika tangu nyota wa nyimbo za Injili Bongo, Flora Mbasha kumwagana
na mumewe, Emmanuel Mbasha ‘Imma’, habari ya mjini kwa sasa ni mwanadada
huyo kudaiwa kujiachia kila kona na jamaa anayemtambulisha kwa jina
moja la Peter akisema kuwa ni mlinzi wake wa karibu, Risasi Jumamosi
linatumbua jipu!
Post a Comment