#BREAKINGNEWSSSS
Makontena 54 yalikwenda kwa Bakhresa bila kulipia kodi na tayari tangu jana Azam ICD General Manger kalaliwa yupo lupango
Hasara toka kwa Azam ICD kwenda kwa serikali ni kiasi cha shilingi bilioni 12. Mtoto wa Bakhresa alitaka kwenda kulipia lakini kaambiwa abakie na pesa zake na #TRA wanapiga mahesabu ya adhabu ya kukaa na pesa ya serikali.
Makontena 54 yalikwenda kwa Bakhresa bila kulipia kodi na tayari tangu jana Azam ICD General Manger kalaliwa yupo lupango
Hasara toka kwa Azam ICD kwenda kwa serikali ni kiasi cha shilingi bilioni 12. Mtoto wa Bakhresa alitaka kwenda kulipia lakini kaambiwa abakie na pesa zake na #TRA wanapiga mahesabu ya adhabu ya kukaa na pesa ya serikali.
#HABARINYINGINE
Bosi wa "home shopping centre"
Kadakwa wakati akitaka kutoroka katika mpaka wa namanga alikuwa analala mbele ametulizwa kaambiwa tunahitaji passport yako.
#SASANIKAZITU
#HABARINYINGINE
Bosi wa "home shopping centre"
Kadakwa wakati akitaka kutoroka katika mpaka wa namanga alikuwa analala mbele ametulizwa kaambiwa tunahitaji passport yako.
#SASANIKAZITU
Post a Comment