Waliokuwa
washindani katika nafasi ya kuwania kuteuliwa na Chadema nafasi ya Meya
wa manispaa ya Moshi,Francis Shio (kushoto) akimpongeza Raymond Mboya
baada ya kutangazwa mshindi kwa kupata kura 16 dhidi ya kura 10 za Shio
.
Msimamizi
wa Uchaguzi wa nafasi ya Meya ndani ya chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema) Edward Makabayo akizungumza jambo wakati wa
kutangaza matokeo ya uchaguzi huo.
Meya
wa Manispaa ya Moshi aliyemaliza muda wake na Mbunge wa sasa wa jimbo
la Moshi mjini,Jafary Michael akizungumza katika kikao hicho
kilichofanyika Hotel ya Umoja.
Post a Comment