Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

RC MAKONDA AMTUMBUA JIPU AFISA UTUMISHI MANISPAA ILALA

Mei 2 2016 Mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda aliwaapisha wakuu wa idara na maofisa utumishi wote lengo likiwa ni kuwataka kila mtumishi kuwabainisha watumishi wao hewa katika idara zao na atakayebainika kutoa taarifa zisizo sahihi mkataba umfunge mwenyewe.
Leo May 09 2016 katika uchunguzi wa awamu ya tatu wamekuja na ripoti ya watumishi hewa 39 walioisababishia Serikali hasara ya BILIONI 3.6.

Paul Makonda amemsimamisha kazi afisa utumishi wa Manispaa ya Ilala, Francis Kilawe kwa kutowagundua watumishi hewa 11 ambao walikuwa hawajulikani wapo idara gani
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top