Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

JK ARIDHISHWA NA MAANDALIZI

Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajab Luhwavi akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakata Kikwete alipowasili leo kukagua hali ya ukumbi wa mikutano wa Dodoma Convetion, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mkutano mkuu maalum wa CCM utakaofanyika Julai 23, 2016. Kwa lengo la kumkabidhi kijiti cha Uenyekiti wa CCM, Rais wa awamu ya Tano Rais Dk. John Magufuli. 
 Mwenyekiti wa CCM, Dk. Jakaya Kikwete akiingia kwenye ukumbi wa Ddoma Convetion, alipofika kukagua ukumbi huo leo, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum wa CCM, utakaofanyika Julai 23, 2016. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rajab Luhwavi na watatu ni Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana.
Mwenyekiti wa CCM, Dk. Jakaya Kikwete akijaribu vinasa sauti alipokagua ukumbi huo
Mwenyekiti wa  CCM Dk. Jakaya Kikwete akitoa maelekezo alipokagua ukumbi huo
Mwenyekiti wa  CCM Dk. Jakaya Kikwete akitoa maelekezo alipokagua ukumbi huo
Mwenyekiti wa  CCM Dk. Jakaya Kikwete akitoa maelekezo alipokagua ukumbi huo
Mwenyekiti wa  CCM Dk. Jakaya Kikwete akitoa maelekezo alipokagua ukumbi huo. 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top