Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWS.... HATIMAYE MWIZI MAARUFU WA MAGARI ALIYELIZA WENGI ANASWA



Hatimaye Mwizi maarufu wa magari maeneo ya Mikocheni/Barabara ya Rose Garden ametambuliwa kwa jina la Ramadhani Mbando baada ya sura yake na gari lake kunaswa na Camera.

Ametia hasara watu wengi sana.Kama inavyoonekana pichani ana Gari aina ya Rav4 na baada ya namba T 129 DEZ kupelekwa TRA zikarudi na jina lake "Ramadhani Mbando" na namba ya simu 0714546035.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top