Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WEMA SEPETU AMGEUKIA MTOTO WA DIAMOND PLATINUMZ... AANDIKA MANENO MAZITO JUU YA TIFFAH

Msanii wa filamu Wema Sepetu anaendelea kuuthibitishia umma kwamba hana tena kinyongo na Ex wake wa zamani Diamond Platnumz baada ya Jumamosi hii kumwandikia ujumbe mzuri bintiye Diamond, Tiffah katika siku yake ya kuzaliwa.

Wawili hao hivi karibuni wameonyesha kushirikiana mambo kadhaa katika mitandao ya kijamii licha ya wiki mbili zilizopita kusambaa kwa tetesi ya kurudiana na baadae kukanushwa na Wema Sepetu.

Muigizaji huyo kupitia instagram ameandika ujumbe huu:

Happy Birthday Princess Tee…🎈🎉🎁🎊🎀💝 May Allah bless your precious lil self… You will definitely turn out to be a phenomenal young woman… Princess_tiffah.

Jumamosi hii bintiye Diamond, Tiffah, ametimiza mwaka mmoja ambapo amewashukuru wote waliomtakia heri katika siku hiyo.

“Today a year ago at 4:40 am in the wee hours of the morning I was brought into this world. Thank-you for all my bday wishes & God bless all of you😘. HAPPY BIRTHDAY TO ME,” Ujumbe huu uliandikwa instagram ya binti huyo.

Kwa upande wa Diamond, ameandika:

    Princess_tiffah You are certainly the most beautiful gift that i have received in my lifetime….This day is very important for us and to everyone who knows you…Only God Knows how much you mean to me…am so Proud for the first time in my Life to wish my own daughter Happy Birthday… trust me, in my Heart you are the most wonderful daughter in the whole world!….May you always be surrounded with beauty and happiness!…..My Angel, my little Cupcake, my sweet daughter, My Miss World, me and Your Cute Mom loves you so much…..Happy Birthday! @princess_tiffah 🎉🎂🎉
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top