Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

A - Z YA HARUSI YA MSANII WA BONGO MOVIE SHAMSA FORD .... VIDEO YA TUKIO ZIMA LA HARUSI IPO HAPA ....

Muigizaji maarufu wa Filamu za Bongo Movie nchini, Shamsa Ford Ijumaa Septemba 2, 2016 alifunga ndoa na Mfanyabiashara maarufu wa Maduka ya nguo jijini Dar, Rashidi Said a.k.a Chidi Mapenzi, Sherehe ya ndoa yao hiyo ilifanyika nyumbani kwa wazazi wa Shamsa Sinza Afrikasana jijini Dar es Salaam.

Awali, Shamsa alidumu katika penzi na Dickson Matoke ‘Dick’ na kufanikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume aitwaye Terry na kisha kufunga ndoa ya kimila nyumbani kwa mwanaume huyo, Tarime mkoani Mara ila baadaye waliachana na kuangukia kwa staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ ambaye penzi lao halikudumu, na sasa Shamsa Ford ni mke halali wa Rashidi Said a.k.a Chidi Mapenzi.
Shamsa Ford na Mumewe Rashidi Said a.k.a Chidi Mapenzi.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top