Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWS ... Ufisadi wa kutisha wafichuka ziara ya Magufuli Uhuru publications



Uhuru waichongea bodi yao kwa Rais Magufuli

Wafanyakazi wa kampuni ya Uhuru Publications wameichongea bodi ya wakurugenzi wa kampuni hiyo kwa Mwenyekiti wa CCM, Rais John Magufuli kuhusu uuzwaji kinyemela wa mtambo wao wa kuchapisha magazeti.

Hayo yamebainishwa leo na wafanyakazi hao baada ya Rais Magufuli kuwatembelea na kusikiliza matatizo yao na changamoto wanazokumbana nazo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top