Loading...
Home » Unlabelled » BREAKING NEWS .... Diwani wa Chadema ajiunga na CCM .... Wananchi wapigwa na butwaa
BREAKING NEWS .... Diwani wa Chadema ajiunga na CCM .... Wananchi wapigwa na butwaa
Wakati viongozi wa chadema wakijinasibu kwa slogan yao mpya ya KATA FUNUA, hali inazidi kuwa tete pande hizo, baada ya aliyekuwa diwani wa kata ya shule ya tanga inayopatikana ktk jimbo la Songea Mjini, mkoani Ruvuma, kujiengua ktk chama hicho, na kuifuata slogan mujarab ya HAPA KAZI TUU,inayoratibiwa na Dr Magufuli kupitia chama cha mapinduzi....
Mh diwani huyo aliyejiuzulu kwa maslahi ya taifa hili, ndg Mussa Ndomba, amekabidhiwa kadi yake na viongozi wa CCM mkoa wa Ruvuma.
BLOG RAFIKI
-
-
Alfajiri3 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Serikali yatoa kauli kuhusu Dbi ya Kariakoo9 months ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-



Post a Comment