Loading...
Home » Unlabelled » UVCCM Kigamboni wapatwa na msiba mzito .... Katibu Mkuu Shaka aongoza mazishi yake
UVCCM Kigamboni wapatwa na msiba mzito .... Katibu Mkuu Shaka aongoza mazishi yake
*Kaimu Katibu Mkuu Uvccm Taifa Ndg Shaka Hamdu shaka leo ameongoza Mamia ya Waombolezaji Katika Ibada ya Mazishi ya Katibu wa Uhamasishaji,Sera na Utafiti kata ya kigamboni Ndg:Florence Charles Shija aliefariki Mnamo tareh 30/10/2016 na kuzikwa leo. Bwana ametoa na bwana ametwaa jina bwana lihimidiwe.*
Post a Comment