Loading...
Wasira king'ang'anizi
Mwanasiasa Mkongwe, Stephen Wassira aliyeshindwa katika kesi yake ya Uchaguzi dhidi ya Mbunge Ester Bulaya(CHADEMA) amesema kuwa hajastaafu siasa na mwaka 2020 atagombea tena.
- Aidha katika maelezo yake amesema kuwa ameshtushwa sana na hukumu iliyotolewa na Mahakama kwa kuwa anaamini alistahili kushinda.
Chanzo: JF
BLOG RAFIKI
-
-
Magazeti ya leo Aprili 26, 20246 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Post a Comment