Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Bei ya Sembe, Dona yapaa

Dar es Salaam/ mikoani. Bei ya unga wa sembe katika mikoa mbalimbali nchini imepanda kutoka kati ya Sh800 na 1,000 kwa kilo hadi kufikia Sh1,500, huku mfuko wa kilo 25 ukiuzwa Sh29,500 badala ya kati ya Sh22,000 na Sh24,000.

Uchunguzi uliofanywa na Mwananchi katika mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma, Ruvuma, Tanga, Pwani na Lindi umebaini kuna ongezeko la bei ya unga kutokana na kuadimika kwa mahindi.

Mapema mwezi uliopita Mwananchi ilifanya uchunguzi wa mikoa maarufu kwa uzalishaji mahindi ya Ruvuma, Njombe, Mbeya na Rukwa na kubaini walanguzi walikuwa wakinunua mahindi na kuyasafirisha kwenda nchi jirani zenye uhaba wa chakula.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top