Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Hatimaye msanii Young Dee amkubali mwanaye

 Furaha ya mtoto si ya mama mzaa chema pekee, ni ya baba pia. Ilikuwa ni furaha tu baada ya rapper Young Dee kumuona kwa mara ya kwanza mwanae wa kike, Tamar.

Awali rapper huyo alidaiwa kumkataa mtoto huyo kabla ya kuomba radhi kwenye Instagram na kutangaza kuwa ameurudisha moyo wake.

Jana Young Dee alikutana na mama wa mtoto huyo ambaye kwake Young kukubali majukumu yake kama baba wa mtoto huyo ilikuwa ni furaha kubwa.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top