Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Lowassa atuma salaam za sikukuu ya Maulid

Nachukua nafasi hii kuwatakia kheri na baraka waislam wote nchini katika kuadhimisha siku hii ya kuzaliwa kwa kiongozi wao Mtume Muhammad SAW.

Waislam kama walivyo watanzania wa dini nyingine wamekuwa nguzo muhimu katika kujenga amani, upendo na utulivu nchini kwetu, na hii yote ni kutokana na mafundisho ya kiongozi wao huyo.

Ni rai yangu kwa watanzania wote wakiwemo watawala kuwa tunapo sherehekea siku hii tutimize kwa vitendo mafundisho ya bwana Mtume ambaye ni mmoja wa mitume wa mwenyezi mungu kwa kuheshimiana, kuvumiliana na kupendana.

Edward Lowassa
Waziri mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu - Chadema.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top