Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Maroli ya Dangoti yaweka historia

Mtwara. Shehena ya malori 651 kwa ajili ya kusafirisha saruji kutoka kiwanda cha bilionea wa Nigeria, Aliko Dangote imeweka rekodi ya meli kubwa kuwahi kutia nanga katika Bandari ya Mtwara.

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Dk Khatibu Kazungu alisema kwa mara ya kwanza meli kubwa ijulikanayo Morning Composer imetia nanga na kushusha malori 651 katika bandari hiyo.

Akizungumza wakati wa mapokezi ya magari hayo bandarini hapo jana, Dk Kazungu alisema kufika kwa meli hiyo kutoka mashariki ya mbali kumefungua fursa za kiuchumi Mtwara na kuitangazia dunia kwamba bandari hiyo ina uwezo kama zilivyo nyingine duniani.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top