Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Waziri Mkuu akabidhi pikipiki 200 bila malipo kwa vijana



Pikipiki 200 mpya (zikiwa katika kiwanja cha Sheikh Amri Abeid) ambazo mgeni rasmi Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amewakabidhi bure mchana huu vijana 200 waendesha bodaboda wa jiji la Arusha. Huu ni mpango uliobuniwa na kuratibiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.Mrisho Gambo kuwawezesha vijana hao kumiliki bodaboda zao wenyewe kwa rejesho la shilingi 7,000 kwa siku.

Rais wangu... kaamini wasaidizi wazalendo...
Nchi yangu...

Matokeo chanyA+
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top