Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BREAKING NEWS .... Kubenea akamatwa tena na jeshi la Polisi



Anaandika Mh. Saed Kubenea (Mb)~UBUNGO.

--------------------------------------------------------------

Hatimaye ile Kesi ya uchochezi iliyokuwa ikinikabili, imefutwa na mahakama ya Hakim Mkazi Kisutu. Katika shauri hilo, serikali ilidai kuwa niliandika habari za uchochezi katika gazeti la MwanaHALISI juu ya kilichotokea Unguja na Pemba, baada ya kufutwa kwa uchaguzi huru na haki wa 25 Oktoba mwaka 2015.
Katika uamuzi wake huo, Hakim Mashauri alikubaliana na hoja za utetezi na kuamuru kuniachia huru. Hata hivyo, mara baada ya kuniachia huru, jeshi la polisi limenikamata na niko kituo cha polisi kati.
Naombeni dua zenu.

Saed Kubenea(Mb)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top