Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Polepole atembelea vyombo vya habari


 Polepole akimsalimia Suleiman Jongo alipokuwa akisalimia wafanyakazi wa Uhuru Publications Ltd, baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Kampuni hiyo leo
 Polepole akimsalimia Grace alipokuwa akisalimia wafanyakazi wa Uhuru Publications Ltd, baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Kampuni hiyo leo
 Polepole akimsalimia mmoja wa wafanyakazi wa Uhuru Publications Ltd, baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Kampuni hiyo leo
 Kaimu Mhariri Mtendaji wa Uhuru Publications Ltd, Ramadhani Mkoma (kushoto) akimtambulisha baadhi ya Viongozi wa UPL kwa Polepole
 Polepole akifafanua jambo alipokuwa akizungumza Ofisi kwa Kaimu Mhariri Mtendaji wa UPL 
 Polepole (kulia) akizungumza na Kaimu Mhariri Mtendaji Ramadhani Mkoma (kushoto) alipokuwa katika ziara hiyo leo
 Wafanyakazi wa UPL wakisimama kumlaki Polepole alipoingia kwenye chumbacha habari ili uzungumza nao
 Katibu wa NEC, Itkadi na Uenezi Polepole akizungumza na wafanyakazi wa UPL leo
UHURU FM
 Katibu wa NEC Itkadi na Uenezi, Humphrey Polepole akipanda ngazi kuingia katika Ofisi za Uhuru FM leo
 Kaimu Mkurugenzi wa Uhuru FM, Angel Akilimali akimpa Polepole kitabu cha wageni ili asaini
 Akilimali akitoa maelezo machache kumkaribisha Polepole
 Akilimali akimkabidhi Polepole taarifa kuhusu Uhuru FM
 Baadhi ya Maofisa Kutoka Makao Makuu ya CCM, na wafanyakazi wa Uhuru FM wakiwa katika Ofisi ya Akilimali
 Polepole akiwa tayari kuzungumza na Wafanyakazi wa Uhuru FM
 Akilimali akitambulisha ugeni wa Polepole kwa wafanyakazi wa Uhuru FM
 Polepole akizungumza na wafanyakazi wa Uhuru FM
 Wafanyakazi wa Uhuru FM wakimskiliza Polepole
 Wafanyakazi wa Uhuru FM wakimsikiliza Polepole
NEW HABARI CORPORATION 
 Mhariti Mtendaji wa New Habari Corporation Absalom Kibanda akimkaribisha Polepole katika Ofisi za Kampuni hiyo, Sinza jijini Dar es Salaam
 Polepole akimsalimia Msanifu wa Habari wa kampuni hiyo, Hamis Mkotya
 Polepole akimsalimia Mwandishi wa siku nyingi Mzee Makaranga
 Polepole akizungumza na wafanyakazi na viongozi wa New Habari Corporation
 Baadhi ya wafanyakazi wa New Habari Corporation wakiwa wamesimama kumshuhudia Polepole 
 Polepole akiondoka katika Chumba cha Habari cha New Habari Corporation
 Polepole akimsalimia Mhariri Mkuu wa gazeti la Mtanzania
 Kibanda akizungumza na Polepole  katika Ofisi za New Habari Corporation
 Deus Mhagale na mfanyakazi mwenzake wakimfurahia mpigapicha aliyefuatana na Polepole 
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole akifafanua jambo katika mazungumzo na Mhariri Mtendaji wa New Habari Corporation Absalom Kibanda. Picha zote na Bashir Nkoromo)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top