Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Kigogo mwingine Chadema atupwa jela


 Diwani wa Kata ya Iseke chadema Mhe Emanuel J.Jingu amehukumiwa na mahakama ya mwanzo-Ikungi chini ya Hakimu Mh Nindi *kwenda jela miezi mitano* au faini ya sh 500,000/- kwa kosa la kutukana viongozi wa serikali ya kijiji cha muungano katika kata ya Unyahati wilayani Ikungi wakiwa kwenye kikao cha halmashauri ya kijiji.

Mara Baada ya hukumu *Mhe Emanuel J.Jingu ameshindwa kulipa faini hivyo amepelekwa magereza Mkoa wa singida kuanza kutumikia adhabu hiyo*

Pamoja na hukumu hiyo Diwani huyo anakabiliwa na kesi nyingine ya kuzuia ukusanyaji wa mapato,kutoa Matusi Hadharani na kumzuia afisa wa serikali kufanya majukumu yake.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top