Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Kilichomkuta Lowassa alivyokuwa Polisi


Mjumbe wa Kamati kuu ya Chadema  Edward Lowassa ameachiwa kwa Dhamana alipokuwa akihojiwa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi leo.

Lowassa ameachiwa majira ya saa saba na Gari za msafara wake zilionekana zikitoka nje ya Makao Mkuu ya Jeshi hilo saa 7 na robo.

Awali Lowassa aliwasili Makao hayo majira ya Saa 4 asubuhi.

Peter Kibatala amesema kuwa Lowassa atareje tena Makao makuu hapo tarehe 27 juni mwaka .
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top