Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Kiongozi Bavicha atiwa mbaroni

Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), Patrick ole Sosopi anashikiliwa na polisi kwa madai ya kufanya mkutano bila kibali.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, John Kauga amesema Sosopi anashikiliwa kwa kosa alilotenda Juni 16.

Amesema anatuhumiwa kufanya mikutano katika vijiji vya Mlowa na Kinyika vyote vilivyopo Tarafa ya Idodi wilayani Iringa pasipo kupata kibali cha jeshi hilo.

Kauga amesema kwa sasa polisi wanaendelea na uchunguzi na ukikamilika Sosopi atafikishwa mahakamani.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top