Loading...
Alichokisema Rais Magufuli uzinduzi wa Maji Sengerema
ALICHOKISEMA RAIS MAGUFULI UZINDUZI WA MAJI SENGEREMA 04/07/2017
ZIARA YA JPM: Rais John Magufuli leo amezindua mradi wa maji wenye thamani ya Sh23 bilioni katika kijiji cha Nyamazugo wilayani Sengerema.
"Sasa Hivi tunafanya ukaguzi wa nchi nzima wa Pembejeo Hewa,Kuna watu wameandikwa kuwa wanapewa pembejeo kumbe walishafariki zaidi ya miaka 20 iliyopita,Tunachunguza hilo"#RaisMagufuliSengerema
ZIARA YA JPM: Rais John Magufuli leo amezindua mradi wa maji wenye thamani ya Sh23 bilioni katika kijiji cha Nyamazugo wilayani Sengerema.
NUKUU-"Tumeamua katika maeneo ya vijijini Wananchi waweze kupata maji kwa 85% na Mjini kwa 95%."#RaisMagufuliMwanza
NUKUU-"Mlinipa kura bure na mimi nitawafanyia kazi Bure,sitawaangusha"#RaisMagufuliMwanza
JPM: Mwalimu mkuu atakayeruhusu aliyepata mimba kurudi shule ataondoka.
NUKUU-"Nihangaike kukusanya kodi,nikusomeshe bure,ukapate mimba bure,alafu nikasomeshe wakina mama,mimi nimesema hakuna"#RaisMagufuliMwanza
"Tumekuwa na miradi ya hovyo,Tanesco inanunua umeme kwa senti 500 inauza kwa senti 250"#RaisMagufuliSengerema
Imeandaliwa na Shilatu E. J kwa msaada wa page ya Facebook ya Mwananchi
BLOG RAFIKI
-
-
-
-
Hezbollah yashambulia Israel1 hour ago
-
Magazeti ya leo Aprili 26, 202413 hours ago
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
-
Post a Comment