Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAADHIMISHO YA SIKU YA WANYAMAPORI DUNIANI KITAIFA MKOANI DODOMA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (wa tatu kushoto) na Naibu Waziri wa Wizara hiyo, Japhet Hasunga (kushoto) wakiongoza maandamano ya kuadhimisha siku ya Wanyamapori Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Dodoma juzi. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo mwaka huu ni “Wanyamapori jamii ya Paka wamo hatarini kutoweka- TUWALINDE”. (Picha na Hamza Temba-WMU).
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top