Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MSANII STEVE NYERERE AFIWA NA MWANAE...!!



Msanii wa maigizo na mchekeshaji kutoka Bongo Movie Steve Mengele maarufu kama Steve Nyerere amepata pigo la kufiwa na mtoto wake leo hii maeneo ya Kinondoni. Inarepotiwa kwamba mtoto huyo aliyefariki ni wa kiume ambaye ni mtoto wake wa tatu. Huyu ni mtoto wa pili kufariki kwneye familia ya Steve na mkewe Zawadi! So sad!   Msiba upo nyumbani kwake maeneo ya Kinondoni.
Taarifa zaidi tutawajulisha tutakavyo kuwa tukizipokea.
JG Blog inatoa pole kwa familia ya Steve kwa kupotelea na mtoto wao.
May his soul R.I.P

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top